[Maneno ya wimbo ya "Nani?"]
[Verse 1 - Marioo]
Nampenda mmoja
Sitaki mwingine
Msiniwaze
Namtaka mmoja
Simtaki mwingine
Msiniwaze
[Bridge - Marioo]
Aaaah
Nalia nalia naliaga
Akininunia napagawaga
Nalia nalia naliaga
Akinisisua nachachawaga
[Chorus]
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
[Pre-Chorus - Marioo]
Nampenda nampenda
Msichana mmoja
Mweupe kidogo
Mweusi kidogo
Nampenda nampenda (Nani)
Msichana mmoja
Mweupe kidogo ( Nani)
Mweusi kidogo (Nani)
[Chorus]
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
[Verse 2 - Abigail Chams]
Ananikosha roho
Ananirusha roho
Ananikuna kuna
Ananirusha roho
[Bridge - Abigail Chams]
Anavyopita ananukia kama malaika
Huyo huyo shemu wenu
Anavutia kama malaika
Huyo huyo shemu wenu
[Chorus]
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila huyu kijana
[Pre-Chorus - Abigail Chams]
Nampenda nampenda
Kaka mmoja
Mweupe kidogo
Mweusi kidogo
Nampenda nampenda (Nani)
Kaka mmoja
Mweupe kidogo ( Nani)
Mweusi kidogo (Nani)
[Chorus]
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila huyu kijana