Unastahili kuabudiwa
Unastahili eh eh eh eh
Unastahili kuabudiwa
Unastahili eh
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yesu
Unastahili kuabudiwa
Unastahili eh
Mwingine kama wewe baba
Mimi sijapata ooh ooh
Kama wewe eh Baba
Mimi sijapata
Mwengine kama wewe
Kama wewe kama wewe
Sijapata wuuh
Kama wewe eh Baba
Mimi sijapata
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yesu
Unastahili kuabudiwa
Unastahili eh
Huruma zako na neema
Zimenitosheleza
Huruma zako na neema
Zimenitosha
Huruma zaaaako
Zimenitosheleza
Huruma zako na neema
Zimenitosha zimenitosha
Baba eh eeeh
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yеsu
Unastahili kuabudiwa
Eh
Ni nani kama wewe Bwana
Hakuna, mwenginе mwengine
Kama wewe, hakuna
Naaani kama wewe Bwana
Hakuna hakuna
Mwengine kama wewe
Hakuna
Unastahili Baba
Yeah yeah yeah
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yesu
Unastahili kuabudiwa
Eh
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe eeh ni wewe Bwana
Oooooh
Eh ni wewe Bwana
Ni weweeeee
Bwana mponyaji wangu
Ni weweeeee
Kimbilio langu
Msaada wangu ni wewe
Tegemeo langu ni wewe
Unastahili eh
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yesu
Unastahili kuabudiwa
Eh
Unastahili kuabudiwa
Unastahili ewe Yesu
Unastahili kuabudiwa
Eh